Thursday, June 6, 2013

"UMASIKINI WA AKILI YA VIONGOZI NDO SABABU INAYOWAFANYA WAINGIE MIKATABA MIBOVU"...REGINALD MENGI


Viongozi wa afrika wanastahili kulaumiwa kutokana na rushwa na uhamishwaji haramu wa mitaji unaofanywa na makampuni ya kimataifa, asema mkurugenzi mtendanji wa IPP, Bw. Reginald Mengi

No comments:

Post a Comment