UDADISI KITAA
Saturday, June 15, 2013
Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA; watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha
Kwa mujibu wa aliyetoa habari hii, inaonekana bomu hilo lilitegwa karibu na gari la matangazo. Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.
BABA AMKANA MTOTO KISA ANA NYWELE ZA KIARABU.....MAMA AKASIRIKA NA KUMTUPA, POLISI WAMTIA MBARONI
Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Khadija Idd anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro akidaiwa kumtupa barabarani mtoto wake mwenye umri wa miezi 6 baada ya mwanaume aliyezaa naye kumkataa.
Shuhuda
wetu ambaye ni dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Shabani,
alisema tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu maeneo ya Mafiga karibu
na Msikiti wa Mahita ambapo Khadija alichukua uamuzi huo baada ya
mwanaume aliyezaa naye kumgomea mtoto kwa madai ana nywele za Kiarabu
hivyo si wake.
Thursday, June 13, 2013
MAJINA NA KAMBI ZA JESHI WALIKOPANGIWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA 2013...TAREHE YA KURIPOTI NI 24 MWEZI HUU
TANGAZO
MKUU WA JKT MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAWAITA VIJANA 10,849 WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2013 KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KAMA IFUATAVYO:-
1. VIJANA WOTE WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA WALIOPATA DIVISION I NA DIVISION II.
1. VIJANA WOTE WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA WALIOPATA DIVISION I NA DIVISION II.
"NAFIKIRIA KUAHIRISHA SHOW YANGU ILA SI KWA KUMUOGOPA MWANAMKE"...MWANA FA
MSANII wa muziki wa
kizazi kipya nchini Tanzania Mwana FA anafikiria kuahirisha shoo yake
ya kesho kufuatia kifo cha msanii mwenzake wa kizazi kipya Langa Kileo,
kilichotokea leo jijini Dar es Salaam.
Mwana
FA anafikiria kuahirisha shoo yake ya kesho iliyopangwa kufanyika
katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam na tayari
ameanza kuwasiliana na meneja wake kwa ajili ya hatua hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)