Kwa mujibu wa aliyetoa habari hii, inaonekana bomu hilo lilitegwa karibu na gari la matangazo. Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.
Mungi ameripoti kuwa bomu limelipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.
Watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha, na wengine wajeruhiwa.
No comments:
Post a Comment