Wednesday, June 12, 2013

KUNDI LA MATAPELI WANAODAI KUTOA MIKOPO BILA RIBA WAVAMIA ACCOUNT ZA DIAMOND NA KUTOA UJUMBE HUU...


Kundi la matapeli wanaojiita Saving Foundation leo wameihack akaunti za Facebook na Twitter za Diamond na kuandika ujumbe unaoonekana kama umeandikwa na Diamond.
  
Amepigiwa  simu  Diamond ambaye hakuwa na taarifa zozote kumuuliza kama ni yeye ndiye aliyeandika na amekanusha kuandika ujumbe huo.
Ujumbe huo kwenye akaunti ya Facebook ya Diamond unasomeka:
Screenshot - 6_11_2013 , 6_16_56 AM
Matapeli hao pia wamewahi kutumia majina ya Zitto Kabwe na Ridhwan Kikwete kufanya utapeli huo.
Mtaalam mmoja wa masuala ya IT amedai  kuwa matapeli hao wamejipanga na wana mtandao mkubwa.

No comments:

Post a Comment