Thursday, June 13, 2013

BREAKING NEWS: MSANII LANGA AFARIKI DUNIA


Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani)

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa amefariki dunia..
Habari zinadai  kuwa , Msanii huyu alikumbwa na Malaria kali sana hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.
ENDELEA KUWA NASI....

No comments:

Post a Comment