Thursday, May 23, 2013

VURUGU ZA MTWARA ZAUA WANAJESHI WANNE NA KUJERUHI 20




Katika tukio lingine askari wanne wa jeshi la wananchi kikosi cha 41 KJ wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya gari lao kupinduka eneo la Kilimani hewa Nachingwea njiani kuelekea Mtwara kuongezea nguvu jeshi la polisi kufuatia vurugu zilizotokea mkoani humo

No comments:

Post a Comment