VIDEO: RIPOTI YA ITV KUHUSU VURUGU ZA WANANCHI WA MTWARA ZILIZOSABABISHA WATU WAPOTEZE MAISHA
Mtu mmoja amefariki dunia na kadhaa
kujeruhiwa katika vurugu zilizoibuka mkoani Mtwara baada ya bajeti ya
wizara ya nishati na madini kusomwa ambapo pia ofisi za CCM wilaya ya
Mtwara vijijini imeteketezwa moto pamoja na nyumba nyingine nne ikiwemo
nyumba ya mbunge na mwandishi wa habari wa TBC
No comments:
Post a Comment