Rais wa Marekani Barack Obama na mkewe
Michelle mwezi ujao atakuwa na ziara katika nchi tatu za Afrika zikiwemo
Tanzania, Afrika Kusini na Senegal.
Ziara hiyo itaanza June 26 – July 3. Hata hivyo kitendo cha Obama
kuiruka Kenya nchi anayotokea baba yake mzazi, kimewaumiza wakenya wengi
hasa ukizingatia kuwa hajawahi kuitembelea nchi hiyo tangu aingie
madarakani.
HUYU NI MKENYA AKIMLILIA OBAMA..
No comments:
Post a Comment