Baada ya kutangaza kumpiga chini
Mh.Zitto Kabwe, Loveness Diva ameamua kumchokonoa tena kwa
kumkejeli kuhusu uamuzi wake wa kugombea Urais.....
Huu ni ujumbe wake aliouweka instagram:
".Ivi kwa akili yako unadhani unastahili kweli kuwa Rais mteule wa taifa hili....??
"Usiponijibu nikaridhika, basi ntakuchukulia kama mtu mwenye upeo finyu asiyejua alitendalo.."
No comments:
Post a Comment