Mkuu wa Mkoa Mulongo naye amefika eneo la tukio na kuwafariji wahanga wa tukio la bomu....
RPC wa mkoa wa Arusha naye
aliambatana na mkuu wa mkoa na muda huu alikuwa anatoa nasaha
zake kwa wananchi....
RPC ameeleza kuwa tukio hili ni la kigaidi. Katika maelezo yake, RPC amesema kuwa aliyehusika alijitokeza nyuma ya
jengo kwa kujificha na kurusha bomu. ...
Amesema Polisi wanawasaka waliohusika na unyama huu na ameomba yeyote mwenye taarifa yoyote aisaide polisi. ..
Waliojeruhiwa ni 50 .Hao wana majeraha ya kawaida na 3 wako mahututi
Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na polisi kwa
mahojiano zaidi
No comments:
Post a Comment