Kwanza kulikuwa na tetesi
kuwa huenda Clouds Fm wakafanya show nyingine siku hiyo, kitu ambacho Ruge
Mutahaba alikifafanua vizuri kwa kusema mtu ukiwa na shughuli haimaanishi kuwa
wengine wasifanye shughuli nyingine kama hiyo.
Lakini sasa kuna jingine ambalo limejitokeza, na amelisema
mwenyewe Lady JayDee....
Kupitia akaunti yake ya Twitter Jide ameandika:
No comments:
Post a Comment